iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Milipuko kadhaa mikubwa imesikika katika anga ya Umoja wa Falme za Kiarabu punde tu baada ya majeshi ya Yemen kutangaza oparesheni kubwa ya ulipizaji kisasi dhidi ya vituo muhimu vya kiuchumi vya nchi hiyo.
Habari ID: 3474871    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31

TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo mashirika ya mafuta ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) bado hayajatangaza hasara yalizopata kufuatia mashambulio ya ulipizaji kisasi yaliyotekeleza na Jeshi la Yemen, lakini picha za satalaiti zinaonyesha uharibifu mkubwa uliofanyika.
Habari ID: 3474823    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/18

TEHRAN (IQNA) Maimamu 15 kutoka Indonesia wamewasili Umoja wa Falme za Kiarabu kwa ajili ya kuswalisha na kutoa hotuba katika misikiti kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3474505    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/02